
MADAM, Wema Sepetu ameonesha upande wa pili wa maisha yake baada ya kunaswa akikata mauno mwanzo mwisho.
Kwa
mujibu wa mtandao mmoja wa Kibongo, Madam alifi ka na kampani yake
katika Ukumbi wa Thai Village, Masaki jijini Dar hivi karibuni na ndipo
‘mashetani’ yalipompanda baada ya kusikia sebene lililokuwa
likiporomoshwa na Bendi ya Skylight.
Wema...
No comments:
Post a Comment