Pages

Monday, July 22, 2013

KUNDI LA SCOPION GIRLZ KWISHA HABARI YAKE,SASA VIPANDE VIPANDE..WATUPIANA NGUO NJE


MEMBA wa Kundi la Scorpion Girls, Isabela Mpanda ‘Bela’ na Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ wametofautiana hadi kufi kia hatua ya kutukanana na kutupiana nguo nje.
 

Mpango mzima ulitokea hivi karibuni Kijitonyama jijini Dar, nyumbani kwa Isabela ambapo chanzo cha ugomvi huo ni baada ya Isabela kumsifi a mtandaoni X-memba wa kundi lao, Jacqueline Pentezel ‘Jack wa Chuz’ kwa kununua gari, ndipo Kabula  alipokasirika na kuanza kumtukana Bela na mama yake matusi ya nguoni.
 

“Sikumuelewa kabisa Jini, kumsifi a Jack kuhusu kumiliki gari ndiyo kumemfanya anitukane? Iliniuma sana na sitamsamehe, bora kila mtu achukue hamsini zake, nguo zake nilimtupia nje,” alisema Bela na kusisitiza kufanya muziki peke yake kwa sasa

1 comment:

  1. My wife was so smooth at hiding her infidelity and I had no proof for months, I saw a recommendation about a Private investigator  and decided to give him a try.. the result was incredible because all my cheating wife’s text messages, whatsapp, facebook and even phone calls conversations was linked directly to my cellphone. (worldcyberhackers@gmail.com) Mr James helped me put a round-the-clock monitoring on her and I got concrete evidence and gave it to my lawyer..if your wife is an expert at hiding her cheating adventures contact him. thank you


    ReplyDelete