Pages

Friday, April 11, 2014

JINS YA KUTUMIA FURSA KWA NAFASI ULIYO NAYO.....JOKATE AELEZEA BIDHAA YAKE MPYA YA NDALA



                                    Mwanamitindo na mtangazaji wa TV nchini, Jokate Mwegelo.
Picha ya bidhaa mpya ya ndala ya Kidoti.
Mwanamitindo na mtangazaji wa TV nchini, Jokate Mwegelo amefunguka kwa kusema kuwa ameamua kufungua biashara ya ndala za brand yake ya ‘Kidoti’ kutokana na mapenzi yake ya uvaaji wa ndala kataki maisha yake ya kawaida .
“Mimi napenda kuvaa ndala, napenda kuvaa wakati nakwenda…



                                    Mwanamitindo na mtangazaji wa TV nchini, Jokate Mwegelo.
Picha ya bidhaa mpya ya ndala ya Kidoti.
Mwanamitindo na mtangazaji wa TV nchini, Jokate Mwegelo amefunguka kwa kusema kuwa ameamua kufungua biashara ya ndala za brand yake ya ‘Kidoti’ kutokana na mapenzi yake ya uvaaji wa ndala kataki maisha yake ya kawaida .
“Mimi napenda kuvaa ndala, napenda kuvaa wakati nakwenda kushoot,siwezi kuvaa high hills wakati nashoot, wakati unapakwa make up unaonaee, unatengenezwa nywele, you cannot wear hills lazima uwe umevaa kitu comfortable,”.
“Kwahiyo nikaona kwamba ndala ni kitu kizuri,napenda kuvaa ndala,ni kitu easy,kuvaa rahisi halafu ni kitu ambacho watu wanakihitaji why not have ndala ambazo zina mvuto wa kipekee? Kama nilivyohaidi watu kwamba Jokate kupitia brand ya Kidoti itaanzisha bidhaa mbalimbali kukidhi mahitaji ya watu na jamii mzima.
Nashukuru kuna support kwa Kidoti yenyewe kama brand. Kwahiyo tutaendelea kutoa vitu mbalimbali vya kufurahisha. Unajua kutoa surprise ni njia moja wapo ya kufurahisha, hawakutegemea kupata kitu kuzuri lakini wamekipata. Kwahiyo ni mambo ya Kidoti hayo ni bidhaa nzuri waipokee na tutaendelea kutoa bidhaa mbalimbali.” aliongeza.
Pia Kidoti amesema kuwa bidhaa ya ndala ya Kidoti itapatikana Tanzania nzima.
“Tutasambaza Dar es salaam nzima na mikoani,kwahiyo ni kitu ambacho kipo katika mipangilio ya kusambambaza sehemu mbalimbali ili upatikanaji uwe rahisi na tunafanya jitihada za kutangaza sehemu ambazo zitakuwa zinapatikana.”
                                    Mwanamitindo na mtangazaji wa TV nchini, Jokate Mwegelo.
Picha ya bidhaa mpya ya ndala ya Kidoti.
Mwanamitindo na mtangazaji wa TV nchini, Jokate Mwegelo amefunguka kwa kusema kuwa ameamua kufungua biashara ya ndala za brand yake ya ‘Kidoti’ kutokana na mapenzi yake ya uvaaji wa ndala kataki maisha yake ya kawaida .
“Mimi napenda kuvaa ndala, napenda kuvaa wakati nakwenda kushoot,siwezi kuvaa high hills wakati nashoot, wakati unapakwa make up unaonaee, unatengenezwa nywele, you cannot wear hills lazima uwe umevaa kitu comfortable,”.
“Kwahiyo nikaona kwamba ndala ni kitu kizuri,napenda kuvaa ndala,ni kitu easy,kuvaa rahisi halafu ni kitu ambacho watu wanakihitaji why not have ndala ambazo zina mvuto wa kipekee? Kama nilivyohaidi watu kwamba Jokate kupitia brand ya Kidoti itaanzisha bidhaa mbalimbali kukidhi mahitaji ya watu na jamii mzima.
Nashukuru kuna support kwa Kidoti yenyewe kama brand. Kwahiyo tutaendelea kutoa vitu mbalimbali vya kufurahisha. Unajua kutoa surprise ni njia moja wapo ya kufurahisha, hawakutegemea kupata kitu kuzuri lakini wamekipata. Kwahiyo ni mambo ya Kidoti hayo ni bidhaa nzuri waipokee na tutaendelea kutoa bidhaa mbalimbali.” aliongeza.
Pia Kidoti amesema kuwa bidhaa ya ndala ya Kidoti itapatikana Tanzania nzima.
“Tutasambaza Dar es salaam nzima na mikoani,kwahiyo ni kitu ambacho kipo katika mipangilio ya kusambambaza sehemu mbalimbali ili upatikanaji uwe rahisi na tunafanya jitihada za kutangaza sehemu ambazo zitakuwa zinapatikana.”

Monday, January 20, 2014

ULE MBWAGANO PRIVATE MESSAGE NYINGINE ZAIDI ZA PREZZO NA CHAGGA BARBIE



Lile penzi la mkali kutoka Kenya Prezzo na mdada kutoka uchagani Chagga Barbie limeota mbawa na hatimaye kilichofata ni matusi kuwekeana mambo hadharani bila hata aibu, Mdada ameamua kumwaga kila kitu hadharani na hapo chini ni kila kitu alichoongea mwanadada kutoka TZ aishie USA.
 Swahilitz imefatilia mkasa huu na tumeona sio mbaya tukakuwekea picha hapa uone jinsi mdada alivyofunguka vya kutosha. 

Sunday, January 19, 2014

BREAKING NEWS .MAWAZIRI WAPYA !!!Saada Mkuya ni waziri wa fedha mpya, Asha Migiro ni waziri Katiba soma zaidi hapa

MAWAZIRI WAPYA WATAJWA: WAPO MIGIRO, JUMA NKAMIA ,MWIGULU NCHEMBA NA JENISTA MHAGAMA


Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue.akitangaza baraza la mwaziri leo.
  •   Hakuna Mabadiliko Ofisi ya Rais
  • Ofisi ya Makamu Wa Rais - Naibu Waziri Kitwanga amehamishwa na nafasi yake imejazwa na Mhe. Ali Mwalimu
  • Mwigulu Nchemba amekuwa Naibu Wizara ya Fedha (Sera). Aliyekuwa nafasi hiyo sasa ni Waziri Kamili
  • Uchumi na Mapato sasa anatoka Janet Mbene na inajazwa na Adam Malima
  • Dr. Asha rose Migiro sasa ni Waziri wa Katiba na Sheria
  • Kwenye Ulinzi na Kujenga Taifa ni Dr. Hussein Mwinyi
  • katika Mambo ya Ndani - Mathias Chikawe
  • Afya na Ustawi wa Jamii - Naibu wake sasa ni Waziri Kamili; naibu wa sasa ni Dr. Kebwe S. Kebwe
  • Waziri Mulugo amepigwa chini rasmi . Nafasi yake imejazwa na Jenista Muhagama
  • D. Sophia Simba amebaki na naibu wake akiwa ni Pindi chana katika wizara ya Jinsia na watoto.
  • Katika wizara ya Mifugo na Maendeleo yake ni Dr. Titus Kamani mbunge wa Busega atakuwa Waziri mpya. Naibu wake ni Saning'o Kaika Telele na hivyo Wizara nzima imepata mawaziri wapya
  • Mhe. Ole Medeye Amepigwa chini na nafasi yake kuchukuliwa na George Simbachawene katika wizara ya Ardhi ila bado waziri wake ni Prof. Tibaijuka)
  • katika kilimo na Chakula waziri ni yule yule na Naibu wake ni  Godfrey Zambi
  • Wizara ya Habari na michezo waziri ni yule yule Dr. Fenella Mukangara ila naibu wake ni mpya , Mtangzaji wa zamani na mbunge wa Singida Bw. Juma Nkamia
  • Maliasili na Utalii Nyalandu amekuwa Waziri Kamili. Naibu ni Mahmood Hassan Mgimwa
  • Katika Nishati na Madini ni Prof. Sospeter Muhongo na Naibu wake ni Charles Kitwagwa akiichukua toka kwa Simbachawen

HAWA NDIYO MAWAZIRI WAPYA!!


  


Saada Mkuya ni waziri wa fedha mpya, 

Asha Migiro ni waziri Katiba na Sheria

Waziri wa Ulinzi Hussein Mwinyi

Malima Waziri Mdogo Fedha

Kebwe ni Waziri Mdogo Afya

Chikawe ni Waziri Mpya Ndani 

Mhagama Waziri Mdogo elimu 

Pindi chana Waziri Mdogo Watoto Kinana Mama

Dr. Lengeya Kamani Waziri wa Mifugo 

Waziri Mdogo Telele Mifugo

LADY JAY DEE ANUNUA RANGE ROVER MPYAAA




Respect kubwa kwa mwadada Lady Jay Dee......Hiyo ni Range Rover Sport ...Nomaaaa na ulaji wake wa mafuta ni tofauti na mlio uzoea.